Writen by
sadataley
11:17 PM
-
0
Comments
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,alipokuwa akisalimiana na Viongozi mbali mbli alipowasili katika viwanja vya Salama Bwawani Hotel,Mjini
Unguja kulifungua Kongamano la siku mbili la Elimu katika kuadhimisha miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar
Shein,jana Baadhi ya washiriki wa Kongamano la siku mbili la Elimu katika kuadhimisha miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar wakiwa katika Ukumbi wa Salama Bwawani Hotel Mjini Unguja, na kufunguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein,jana
Unguja kulifungua Kongamano la siku mbili la Elimu katika kuadhimisha miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar
Baadhi ya washiriki wa Kongamano la siku mbili la Elimu katika kuadhimisha miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar wakiwa katika Ukumbi wa Salama Bwawani Hotel Mjini Unguja, na kufunguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein,jana.[
Baadhi ya washiriki wa Kongamano la siku mbili la Elimu katika kuadhimisha miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar wakiwa katika Ukumbi wa Salama Bwawani Hotel Mjini Unguja, na kufunguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali MohamedShein,jana.[
Shein,jana Baadhi ya washiriki wa Kongamano la siku mbili la Elimu katika kuadhimisha miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar wakiwa katika Ukumbi wa Salama Bwawani Hotel Mjini Unguja, na kufunguliwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed
Shein,jana
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akitoa hutuba yake kulifungua kongamano la Elimu katika kuadhimisha miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar, lililofanyika jana katika Ukumbi wa Salama Bwawani Hotel Mjini Unguja,(kulia) Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Ali Juma Shamuhuna,na MKuu wa Mko MjiniMagharibi Abdalla Mwinyi Khamis
[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Makamo Mkuu wa Chuo Kikuu cha SUZA Prof Idriss Ahmada Rai,alipokuwa akitoa neno la shukurani baada ya kufungunguliwa kwa kongamano la Elimu katika kuadhimisha miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar, na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein, jana katika Ukumbi wa Salama Bwawani Hotel Mjini Unguja
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(wa pili kushoto) akiwa na Viongozi mbali mbali walipokuwa wakiangalia maonesho ya Vitabu na kazi mbali mbali baada ya kulifungua kongamano la siku mbili la Elimu katika kuadhimisha miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar, yaliyofanyika nje ya viwanja vyaukumbi wa Salama Bwawani Mjini zanzibar jana
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(katikati)pamoja na ujumbe aliofuatana nao wakiwangalia watoto waliokuwa wakisoma vitabu wakati wa maonesho, yaliyofanyika nje ya viwanja vya ukumbi wa Salama Bwawani Mjini zanzibar jana, baada ya kulifungua kongamano la siku mbili la Elimu katika kuadhimisha miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(wa pili kushoto) akipata maelezo kutoka kwa Mkuu wa Chuo Mafunzo ya Amali Mkokotoni Mkubwa Ibrahim,wakati alipotembelea kazi za mafundi uashi jana alipoyazindua maonesho wakati wa kongamano
la siku mbili la Elimu katika kuadhimisha miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,(wa pili kulia) alipotembelea sehemu ya wanafunzi wasioona wakati wa maonesho baada ya kulifungua kongamano la Elimu katika kuadhimisha miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar nje ya ukumbi wa Salama Bwawani Mjini Unguja jana.la siku mbili la Elimu katika kuadhimisha miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar
[Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
No comments
Post a Comment