Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Tuesday, September 10, 2013

Swala la siasa kali Somalia kujadiliwa

Kikao maalum cha Wasomi wa kisomali na walimu wa dini kinaendelea katika mji ,mkuu wa Somalia Mogadishu Kujaribu kutanzua tatizo la waisilamu wenye msimamo mkali wa kidini .
Kundi la wapiganaji la Al Shabaab
Cha mno ni uelewa wa ufasiri unaotumika na makundi ya kiislamu yenye msimamo mkali wa kidini kama vile lile la Al-Shabab.
Na kwa siku chache zijazo zaidi ya wajumbe 160 watakuwa wakitafsri na kutathmini tafsiri mwafaka kwa nia ya kuhamasisha jamii kuhusiana na tofauti ya tafsiri ya kidini na tofauti nyinginezo.
Hayo yanajiri baada ya kundi la Al shaabab kukiri kuhusika katika shambulizi la bomu lililosababisha vifo vya watu 15 mjini Mogadishu.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment