Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Saturday, September 7, 2013

Mabomu yaripua hoteli mbili Mogadishu

 Polisi nchini Somalia wanasema mashambulio mawili ya mabomu mjini Mogadishu yameuwa watu kama 15.
Mogadishu, Somalia
Polisi walieleza kuwa mabomu hayo yaliripuka kwenye mkahawa uitwao The Village ambao unapendwa na waandishi wa habari na maafisa wa vikosi vya usalama, pamoja na hoteli Muna, ambako wabunge wengi hukaa.
Hoteli zote mbili ziko karibu na ikulu ya rais.
Hakuna aliyedai kuhusika na mashambulio hayo, lakini hoteli zote mbili zimewahi kushambuliwa na wapiganaji wa Kiislamu, al Shabab.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment