Writen by
sadataley
10:27 AM
-
0
Comments
Wakati hayo yakijiri jijini Nairobi huko Mombasa mdahalo kuhusu hatua ya wabunge wa Kenya kupitisha hoja ya kutaka taifa hilo kujitoa katika mkataba wa Roma uliobuni mahakama ya kimataifa ya ICC, bado unaendelea kupingwa na wananchi wakiwemo viongozi mbali wa kisiasa nchini humo.
Makamu wa zamani wa rais Kalonzo Musyoka amesema kuwa suala la kujiondoa katika mkataba wa Roma unaitangaza vibaya nchi hiyo kimataifa.
Rais Kenyata na Naibu wake William Ruto wamepangiwa kuhudhuria baadhi ya vikao vya kesi zao kwa pamoja baadaye mwezi huu ambapo naibu Ruto anatarajia kuondoka nchini Kenya Jumatatu juma lijalo kuelekea Hague Uholanzi ambapo rais Kenyatta atafuata baadaye.
Makamu wa zamani wa rais Kalonzo Musyoka amesema kuwa suala la kujiondoa katika mkataba wa Roma unaitangaza vibaya nchi hiyo kimataifa.
Rais Kenyata na Naibu wake William Ruto wamepangiwa kuhudhuria baadhi ya vikao vya kesi zao kwa pamoja baadaye mwezi huu ambapo naibu Ruto anatarajia kuondoka nchini Kenya Jumatatu juma lijalo kuelekea Hague Uholanzi ambapo rais Kenyatta atafuata baadaye.
No comments
Post a Comment