Writen by
sadataley
5:03 PM
-
0
Comments
Wasomi, wasanii na wafanya-biashara wa Somalia wamekuwa wakizungumza katika mji mkuu, Mogadishu, kwenye ile mikutano inayofanywa sehemu mbali-mbali za dunia iitwayo TED-EX.
Mazungumzo hayo yaliyofanywa kwenye ukumbi wa mikutano chini ya ulinzi mkubwa, yalihusu mapendekezo na ubunifu wa kuijenga tena Somalia.
Hotuba katika vikao vya TED-EX zimetolewa katika nchi zaidi ya 150.
Imewekwa na Happy Adam
No comments
Post a Comment