Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Thursday, July 4, 2013

POPE FRANCIS: Tuwe hodari Wana wa Mungu; "Simama Imani yako Imekuponya". Mathayo 9:1-9

                                                  Baba Mtakatifu akiwa katika Misa
Leo hii Baba Mtakatifu  Papa Francis amelitaka Kanisa (mimi na wewe) kujihesabu  kuwa linadhambi na linapaswa kumtazama Yesu(Baba wa Kanisa) pekee .Hayo ameyasema katika Misa Takatifu ya Alhamis huko Casa Santa Marta leo hii.
Mkazo ukiwa ni kuacha ubinafsi na kuona kuwa Yesu ndiye Mkombozi wa ulimwengu. Hakuna anaye samehe dhambi zaidi ya yeye(Yesu).
Hivyo tusiogope tusogee miguuni kwake yeye yupo tayari kutusaidia na kutuponya kama huyu mwenzetu. Huyo alitengwa na hakutakiwa kuwepo pale lakini kwa huruma na mapenzi ya Mungu, anamvushwa katika upinzania na kisha  anapata nafasi ya kukutana na Yesu.
Mwenzetu aliondoka akiwa ameponywa vyote yaani "Mwili na Roho" na sisi tuwe tayari tutapona tu tumpe nafasi.
Chanzo:http://en.radiovaticana.va/news/2013/07/04/pope_francis:_the_courage_of_children_of_god
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment