Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Monday, July 29, 2013

Papa Francis: MIMI NI NANI KUHUKUMU MASHOGA?

Papa Francis amesema watu ambao ni mashoga haipaswi wawe wanatengwa na jamii badala yake tuishi nao kwa upendo na amani kama watu wengine katika jamii.
Pope Francis speaks to reporters during flight from Brazil
            Pope Francis arriving in Rome, 29 July 2013
        Pichani Papa Francis akishuka katika ndege akitokea nchini Brazil
Msimamo wa Papa Francis juu ya watu mashoga unaonekana  ni tofauti na ule ya mtangulizi wake
Akizungumza na waandishi  akiwa njiani kutoka  nchini Brazil ambako pia  alisaini msimamo wa Kanisa Katoliki ya kwamba matendo ya ushoga yalikuwa ni ya watu wenye dhambi. Pia aliendelea kwa kusema kwamba "Kama mtu ni shoga ana imani na anamwabudu Mungu, mimi ni nani kuhukumu naye?" Yeye pia alisema alitaka jukumu kubwa kwa wanawake katika Kanisa, lakini alisisitiza hawakuweza kuwa makuhani.
Papa aliwasili katika Jiji la  Roma Jumatatu hii baada ya ziara ya wiki nzima ya Brazil, ambayo ilikuwa ni  safari yake ya kwanza nje ya nchi kama Papa . Papa ambaye aliongoza  kilele cha  mkutano mkubwa  huko  Copacabana pwani Rio de Janeiro  ambako ndiko zilifanyika sherere za kilele cha Tamasha  cha Tamasha la  Vijana Duniani.
Tamasha hilo linakadiliwa kuhudhuriwa na takribani ya watu milioni tatu.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment