Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Friday, June 28, 2013

TUYAENZI YALE MEMA  YA KKKT
Hayo yamesemwa na Mchungaji Elisande Mhanga alipokuwa akihubiri katika kanisa lililopo ofisi Kuu za Dayosisi ya Iringa leo hii. Na alikuwa akikazia Mahubiri toka Mathayo 13:31-32
Pia Mchungaji Stephane Homstrom ambaye ni Katibu Mkuu wa  Chama cha Uamsho Swedeni-(Sweedish Evangelical Mission) kama kijulikanavyo kwa jina la SELM. Naye amesema ni bahati na ni Neema za Mungu tu kutufikisha hapa tulipo na tunapaswa kujipanga kwa ajili ya miaka hamsini (50) ijayo
                                                       Mchungaji Elisande  Mhanga
      Bw. Nayman  Chavalla
          Katibu Mkuu KKKT-Dayosisi ya Iringa akimkaribisha Mchungaji Stephan  Homstrom
 ili awasalimu watumishi wa Dayosisi katika Ibada ya leo hii hapa Chapel

                                                           Mchungaji Stephane Homstrom
                                              Katibu Mkuu wa  Chama cha Uamsho Swedeni
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment