Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Monday, June 24, 2013

Matukio ya Jubilii katika picha 
                Mkuu KKKT Msataafu  akibadilishana mawazo na Askofu Mkuu wa Sweden
             Waliopta kuwa Maaskofu wa Dayosisi ya Kusini Kati (Makete) 
Wakiwa na Mkuu KKKT ni Askofu Dr. Solomon Swalo mwenye vazi jekundu,Askofu Manyewa mwenye vazi la zambarau na Askofu wa sasa Askofu Levis Sanga mwenye vazi jeupe



Wawakilishi wa BAKWATA -Arusha wakitoa Salam zao

Askofu wa Kanisa la Kilutheri  Kongo akitoa Salam

Msaidizi wa Askofu wa Kanisa la Kilutheri Kenya akitoa Salam

Mkuu wa KKKT-Uganda akitoa salam

Katibu Mkuu wa Fungamano la Makanisa Duniani (LWF) akitoa salam
 Mchg. Junge


Hapa akitoa zawadi maalum


 Salam toka Makanisa na Vyama vya Kimisionari toka Ulaya na Amerika




                  Wawakilishi wa chama cha Lepzing Mission hapa Mchg. Kuger akitoa salam


Katibu wa Berlin Mision-Africa  Mchg. Dr. Reihard Kees



                              Wawakilishi wa Chama cha DAN Mission wakitoa salam


Askofu Mkuu wa kanisa la Sweeden

Katibu wa Chama cha Uamsho Sweden Mchg. Stephane Homstrom akitoa salam

Mwakilishi wa Unite Evangelical Mission (UEM)
Mchg. Mwombeki

Askofu wa Makanisa ya United Lutheran Church German


Wawakilishi wa Lapzing Mission -German

Wawakilishi wa Danish Mission

Wawakilishi wa Kanisa la Kilutheri Marekani



Askofu wa Kanisa la Kilutheri Canada

Sasa ni zamu ya WAASISI wa KKKT
                 



Askofu Mkuu Mstaafu Dr. Samson Mushemba akitoa salam kwa niaba ya Maaskofu Wastaafu


Maaskofu wastaafu na Wachungaji Wastaafu

                               Mjane wa  aliyekuwa Askofu Mkuu Dr.Sebastian Kolowa
Mjane wa  aliyekuwa Askofu Mkuu Dr.Sebastian Kolowa akitoa salam 
huku Mwenzi wa Mkuu KKKT  Mama Askofu Dr. Gehaz Malasusa akimsiliza 

                    Waziri Mkuu Mstaafu Mh. Fredrick Sumaye akitoa Salam maalum za Jubilii
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment