Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Thursday, June 27, 2013

              TAMASHA LA REDIO FURAHA 96.7FM
RADIO FURAHA INAWAKARIBISHA NYOTE KATIKA TAMASHA MAALUM LA KUSHEREHEKEA  MIAKA MITATU  YA  REDIO FURAHA TANGU IANZE MATANGAZO YAKE HAPA IRINGA.

HIVYO UKIWA KAMA MDAU NA MMOJAWAPO WA KUCHANGIA REDIO HII HASA KATIKA KUTIMIZA  KAULI MBIU YA REDIO YETU AMBAYO 
Meneja wa Radio Bw. Protas Kanemela, Kasisis wa Radio Mchg. Keneth  Comoro wakiwa na Carsten Skvovgaar ambaye ni Mratibu wa Danish Lutherna Mission Duniani alipotembelea studio za Redio Furaha

                     Meneja wa Redio akiwa na Lauson Mgani mmoja ya Watangazaji wa Redio Furaha
   Watangazaji wa Redio Furaha wakiwa kazini ni Noel kaguo na Lauson Mgani  hapa  wakiwa kazini
"NI KUTANGAZA INJILI KWA WATU WOTE"


FIKA OFISI KUU ZA KKKT MAARUFU KAMA DIRA KUANZIA SAA 3:00 KAMILI ASUBUHI MUELEZE NA MWINGINE NI HAPA HAPA IRINGA MJINI


Ofisi ilipo Redio Furaha 
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment