Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Saturday, March 17, 2018

YANGA YATOA MKONO WA KWAHERI LIGI YA MABINGWA AFRIKA, YAIFUATA SIMBA KOMBE LA SHIRIKISHO


Na George Mganga

Yanga imeondolewa rasmi kwenye Ligi ya Mabingwa Afrika kufuatia suluhu ya 0-0 dhidi ya Township Rollers jioni hii.

Township Rollers wamefanikiwa kusonga mbele mpaka hatua ya makundi, baada ya mchezo wa kwanza uliochezwa jijini Dar es Salaam, kuibuka na ushindi wa mabao 2-1.

Kazi nzuri waliyoifanya Township kwenye mechi ya awali, inawafanya Yanga kuyaaga rasmi mashindano hayo na kuwafanya waangukie Kombe la Shirikisho Afrika ambalo Simba anashiriki.

Baadaye Simba SC nayo itakuwa ina kibarua kuanzia majira ya saa  2 na nusu usiku, kukipiga dhidi ya Al Masry huko mjini Port Said, Misri.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment