Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Saturday, March 17, 2018

WACHEZAJI SIMBA WAKIINGOA AL MASRY, KILA MMOJA MILIONI 5




Wachezaji wa Simba wameahidiwa mamilioni ya fedha kama watafanikiwa kuvuka hatua nyingine ya Kombe la Shirikisho kwa kuing’oa Al Masry.

Wachezaji wa Simba wako mjini hapa na tayari wameelezwa kwamba wanachotakiwa ni kupambana na kuibuka ushindi.

Simba wanaivaa Al Masry katika mechi ya pili ya Kombe la Shirikisho, mechi ya kwanza iliisha kwa sare ya mabao 2-2 kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.

Salehjembe.blogspot.com
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment