Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Friday, March 2, 2018

Bomoabomoa yawakumba wananchi Rukwa

Shirika la umeme mkoani Rukwa limeendesha zoezi la bomoabomoa kwa wakazi wa Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa waliojenga kwenye njia kuu ya umeme wa msongo mkubwa unaotoka nchi jirani ya Zambia.

Zoezi hilo lililofanyika chini ya usimamizi wa shirika hilo limewakumba wakazi wa mtaa wa Eden katika Manispaa ya Sumbawanga ikiwa ni baada ya hatua za kisheria kukamilika.

Kwa upande wake mkurugenzi wa Manispaa ya Sumbawanga amesisitiza umuhimu kwa wakazi wa Manispaa hiyo kufuata taratibu za ujenzi ili kuepuka hasara ya namna hiyo, baadhi ya wakazi wa eneo ilipoendeshwa bomoabomoa wamekiri ukiukwaji wa sheria.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment