Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Wednesday, March 1, 2017

Waziri mkuu wa Somalia aidhinishwa na bunge

 

 Waziri mkuu wa Somalia aidhinishwa rasmi na bunge
Bunge la Somalia limeidhinisha uteuzi wa Hassan Ali Kheyra kuwa waziri mkuu.
Kheyra ambaye aliwahi kufanya kazi kama mshauri na mkurugeni mkuu wa kampuni ya mafuta anatarajiwa kuteua baraza lake la mawaziri.
Akihutubia bunge, alisema kuwa lengo lake kuu ni kukabiliana na ukame uliopo, kuimarisha usalama mbali na kukabiliana na ufisadi.

Hatahivyo kazi ya mkuu huyo wa serikali ya Somalia huenda ikapungua baada ya Umoja wa Mataifa kuonya kwamba Somalia ipo katika hatari ya kukumbwa na baa la njaa pamoja na tishio la usalama linalotolewa na kundi la wapiganaji wa al-Shabab.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment