Writen by
sadataley
6:18 AM
-
0
Comments
Msemaji wa wizara hiyi Mayihlome Tshwete anasema kuwa mamia ya watu wasio na vibali walisafirishwa kutoka nchini humo, wengi wao kutoka Jumuiya ya Maendeleo ya nchi za Kusini mwa Afrika SADC.
Wengine ni raia wa Pakistan, China, Bangladesh na Somalia.
Afrika Kusini imekumbwa na ghasia dhidi ya raia wa kigeni na visa vya kuporwa kwa maduka yanayomilikiwa na wahamiaji.
Afrika Kusini huwafukuza karibu watu 30,000 kila mwaka.
No comments
Post a Comment