Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Thursday, April 5, 2018

Twiga Stars yatoka sare na Zambia ‘Shepolopolo’ Taifa

Timu ya taifa ya wanawake ya Tanzania Twiga Stars imelazimishwa sare ya mabao 3 – 3 uwanja wa Taifa dhidi ya Zambia (Shepolopolo) kuwania kufuzu kwa Fainali za Mataifa Afrika kwa Wanawake AFCON 2018 nchini Ghana.

Stars italazimika kuchomoza na ushindi wa aina yoyote wakiwa ugenini nchini Zambia kama wanahitaji kuendelea na mashindano hayo.

Mshindi wa jumla kwa raundi hii atacheza na mshindi kati ya Namibia v Zimbabwe mwezi Mei, na atakayeibuka mshindi atafuzu moja kwa moja kwa Fainali hizo za Wanawake Afrika.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment