Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Tuesday, April 3, 2018

Naibu Spika awaapisha Mollel na Mtulia Bungeni Leo

Mbunge wa Kinondoni Maulid Mtulia.

BUNGE la kumi na moja limeanza leo Aprili 3 ambapo Naibu Spika, Tulia Ackson, amewaapisha wabunge wawili, Dkt. Godwin Mollel wa Siha na Maulid Mtulia wa Kinondoni.

Wabunge hao wameapishwa kufuatia uchaguzi mdogo katika majimbo ya Siha na Kinondoni,  ambapo wabunge hao walihamia Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Mtulia, alikuwa mbunge wa Kinondoni kupitia Chama cha Wananchi  (CUF), kabla ya kuhamia CCM na kugombea tena jimbo hilokupitia chama hicho.  Mollel, alikuwa mbunge wa Siha kupitia Chama cha Demokrasia na Maendeleo  (Chadema) kabla ya kujiunga na CCM.

Hata hivyo,  kiapo hicho hakikushuhudiwa na idadi kubwa ya wabunge wa upinzani ambao hawakuwepo katika kikao hicho.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment