Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Friday, April 13, 2018

Mteule wa Rais Trump ahojiwa na Baraza la Seneti

Mike Pompeo

Mteule wa Rais Donald Trump katika nafasi ya Waziri wa Mambo ya Nje, Mkurugenzi wa Idara ya Ujasusi ya Marekani (CIA), anahojiwa Alhamisi na kamati ya Seneti ikiwa ni hatua ya kuthibitishwa kwake, ambapo ataweka mkazo juu ya msimamo mkali dhidi ya Russia.
“Russia imeendeleza uchokozi, fursa walioichukua kutokana na kuwepo sera dhaifu dhidi ya uchokozi huo. Hiyo ni mwisho sasa,” Pompeo ataiambia kamati ya Mahusiano ya Kigeni ya Baraza la Seneti, kwa mujibu wa nukuu za ushuhuda wake.
Korea Kaskazini na Iran zinategemewa kuwa ni sehemu ya mazungumzo hayo Alhamisi.
Kutofautiana kati ya Rais Trump na Waziri wa Mambo ya Nje wa zamani Rex Tillerson kulipelekea kufukuzwa kwa waziri huyo mwezi Machi.
Lakini Stephen Pompeo wa Kikundi cha Kukabiliana na Migogoro ya Kimataifa anasema iwapo atathibitishwa, Pompeo hatokabiliwa na vipingamizi alivyovikabili Tillerson.

VOA
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment