Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Tuesday, April 3, 2018

Lowasa na Mke wa Mbowe wafika Mahakamani


Waziri wa zamani wa Tanzania, Mhe. Edward Lowassa ni moja kati ya watu mashuhuri waliofika katika Mahakama ya Mkazi Kisutu jijini Dar es salaam kusikiliza dhamana ya viongozi sita wa CHADEMA waliokamatwa wiki iliyopita.

Mwingine aliyefika mahakamani hapo ni mke wa Mwenyekiti wa CHADEMA, Freeman Mbowe, Dkt. Lilian Mbowe.

Leo Aprili 03, 2018 viongozi hao wanatarajiwa kutoka rumande kufuatia dhamana waliyopewa na mahakama wiki iliyopita.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment