Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Thursday, March 1, 2018

Vifo na uharibifu mkubwa waripotiwa Ghouta Syria


Kusitishwa kwa mapigano kungesaidia ugawaji wa misaada ya kibinaadam
Image captionKusitishwa kwa mapigano kungesaidia ugawaji wa misaada ya kibinaadam
Baraza la usalama la umoja wa mataifa limeambiwa kuwa vifo, uharibifu mkubwa na taabu vimeendelea kutokea eneo la Ghouta nchini Syria, licha ya makubaliano ya kusitisha mapigano.
Mali na maisha ya watu yamekuwa hatarini kwa sababu ya vita
Image captionMali na maisha ya watu yamekuwa hatarini kwa sababu ya vita
Ameongeza kuwa kusitishwa mapigano kwa saa tano pekee hakutoshi kuwafikia maelfu ya watu waliomo sehemu hiyo.
Wajumbe wa Marekani wameilaumu serikali ya Syria na washirika wake kwa kushindwa kuheshimu makubaliano ya kusitisha mapigano kwa muda.
Mjumbe wa Urusi amesema waasi wanaoungwa mkono na Marekani na washirika wake ndio wakulaumiwa.
BBC
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment