Writen by
sadataley
7:52 AM
-
0
Comments
Polisi nchini Uingereza imewataja wanaume wawili kati ya watatu waliofanya shambulio katika London Bridge siku ya Jumamosi na kuwauwa watu saba kabla ya kuuawa kwa risasi .
Mmoja wao alikuwa Khuram Butt, alikuwa akitambuliwa na huduma za usalama za Uingereza.
Aliwahi kuonekana kwenye kipindi cha Televisheni mwaka jana kilichoangazia kundi lenye itikadi kali linalounga mkono Islamic state .
Wote waliokuwa wamekamatwa na polisi kufuatia mauaji hayo wameachiliwa bila mashtaka
REUTERSBBC

No comments
Post a Comment