Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Thursday, January 26, 2017

Benki ya StanChat kuelimisha mataifa fursa za uwekezaji nchini.

Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Standard Chertered, Sanjay Rughani amesema benki itaendelea kuwaelimisha watu katika mataifa mbalimbali  juu fursa za uwekezaji zilizopo Tanzania.

Sanjay alitoa kauli wakati wa hafla ya kusherehekea mwaka mpya wa China uliondaliwa na benki hiyo na kuhudhuriwa na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), January Makamba.

Amesema benki hiyo ina matawi mengi katika mataifa mbalimbali hivyo itatumia mwaya huo kutoa elimu kwa wateja wake juu ya umuhimu wa kuwekeza Tanzania.

“Inabidi tuwaelimishe watu wa China na mataifa mengine ambako benki hii ipo juu ya fursa zilizopo Tanzania na malighafi za kutosha zinazochechea uwekezajia,” amesema Rughani.

Amesema nia ya Serikali ni kuimarisha uchumi wa Tanzania hivyo wataangalia sheria zinazozenga nchi hasa nyanza za kukuza uchumi ili wajue namna gani wataweza kusaidia.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment