Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Tuesday, January 31, 2017

Barack Obama avunja ukimya

Marekani

Image captionRaisi mstaafu wa Marekani, Barack Obama
Ofisi ya rais wa zamani wa Marekani Barack Obama imetoa tamko na kusema kwamba raisi huyo wa zamani anakerwa na maandamano yanayoendelea nchini humo kupinga tamko la raisi Donald Trump kutaka kuweka vizuizi vya uhamiaji juu ya wasafiri kutoka kwa baadhi ya nchi za Kiislamu.
Msemaji wa rais Barack Obama, Kevin Lewis, amesema kwamba raisi mstaafu kimsingi hakukubaliana na wazo la ubaguzi dhidi ya watu kwa sababu ya dini yao.
Na kuongeza kusema kwamba wananchi wanatumia haki yao ya kikatiba ya kusikilizwa na viongozi waliochaguliwa na ndiyo matarajio yao pindi Marekani inaingia hatarini .
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment