Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Saturday, February 27, 2016

Wanajeshi wabakaji wafungwa jela Guatemala

Mahakama kuu nchini Guatemala imewahukumua wanajeshi wawili wa zamani kifungo cha mamia ya miaka gerezani kwa kuwabaka na kuwafanya watumwa wanawake wa asili wakati wa mzozo wa miaka ya 80 nchini humo. Kamanda wa zamani wa kambi ya Sepur Zarco na mkuu wa majeshi Heriberto Valdez Asij waliwalazimisha wanawake hao kufanya kazi kwa zamu wakipika na kufanya usafi wakati ambapo pia walibakwa na wanajeshi katika kambi hiyo. Wawili hao walipatikana na hatia ya kuwaua waume wa wanawake hao baada ya kushtumiwa kwa kuwaunga mkono waasi wa mrengo wa kushoto.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment