Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Saturday, February 27, 2016

Usitishwaji wa vita waanza kutekelezwa Syria

Kumekuwa na usitishwaji wa mapigano usiku kucha nchini Syria baada ya makubaliano ya kusitisha dhuluma kuanza kutekelezwa. Maeneo ya mbele ya vita katika mji ulio kaskazini wa Allepo yaliripotiwa kutulia mapema asubuhi huku nao mji wa Damascus na vitangoji vyake vikiripotiwa kutulia. Lakini wanaharakati wanasema kuwa na makabiliano ya hapa na pale kati ya serikali na waasi katika mkoa wa pwani wa Latakia Vyombo vya habari vya serikali vilisema kuwa bomu la kutegwa ndani ya gari liliwaua watu wawili katika mkoa wa Hama Usitishwaji huo mkubwa tangu miaka mitano iliyopita haushirikishi wanamgambo wa Islamic State na kundi la Nusra Front lililo na uhusiano na Al Qaeda.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment