Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Saturday, May 2, 2015

Polisi wafunguliwa mashtaka Baltimore

Meya wa mji wa Baltimore nchini Marekani Stephanie Rawlings-Blake, anasema kuwa amehusunishwa na kuvunjwa moyo baada ya polisi sita kushtakiwa, kufuatia kifo cha mwananamme mweusi Freddie Gray. Polisi mmoja anakabiliwa na mashtaka ya mauaji huku wengine watano wakikabiliwa na mashtaka ya kuua bila kukusudia na kukamata kuliko kinyume cha sheria. Tangazo hilo lilisababisha watu kusherehekea kwenye mji wa Baltimore lakini wengine hata hivyo waliiendelea kuandamana. Wakili anayewakilisha chama cha polisi katika mji huo, alilaani kile alichokitaja kuwa kuharakisha katika kuwafungulia mashtaka polisi hao. Rais wa Marekani Barack Obama anasema kuwa, ni muhimu uchunguzi kubainisha ukweli kuhusu kile kilichosababisha kifo cha bwana Gray.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment