Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Wednesday, March 18, 2015

Upinzani wampongeza Netanyahu Israel

Kingozi wa Upinzani nchini Israel Yitzhak Hertzog amempongeza waziri mkuu Netanyahu kwa ushindi wa chama cha Likud Kiongozi wa upinznai nchini Israeli Yitzhak Hertzog amempongeza Benjamin Netanyahu kwa ushindi wake katika uchaguzi wa ubunge nchini humo na kumtakia kila la kheri. Netanyahu anelekekea kushinda nafasi ya kuhudumu kwa mara ya tatu kama waziri mkuu wa Israeli na hatamu yake ya nne kwa jumla. Chama chake cha Likud kimepata ushindi wa asilimia 24 ya kura zilizopigwa dhidi ya asilimia 19 ya chama cha mrengo wa kushoto - Zionist Union. Sasa Netanyahu analenga kuunda serikali thabiti na imara ya mseto na vyama vidogo vya mrengo wa kulia. Katika kampeni yake ya kuwania kuchaguliwa kwa awamu ya tatu alisisitiza kuhusu usalama wa kiatifa wa Israel. Akizungumza na wafuasi wake, bwana Netanyahu amewashukuru kwa jitihada zao za kumuunga mkono.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment