Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Sunday, January 11, 2015

Mwana wa Raila Odinga hatimaye azikwa

   
Marehemu Fidel Odinga
Maelfu ya waombolezaji walifika katika chuo kikuu cha jaramogi Oginga Odinga siku ya jumamosi kwa mazishi ya mwana ya aliyekuwa waziri mkuu nchini Kenya Fidel Castro Odinga.
Maafisa wa usalama walikuwa na wakati mgumu kudhibiti umati wa watu uliohudhuria mazishi hayo kumuaga Mwana huyo wa Raila Odinga.
Familia ya marehemu inapanga kupeleka sampuli za mwili wa Fidel mjini Berlin Ujreumani kwa uchunguzi kamili wa kifoi chake.
Fidel alipatikana amefariki katika kitanda chake nyumbani kwake wikendi iliopita.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment