Writen by
sadataley
5:28 AM
-
0
Comments
Mwana wa Raila Odinga hatimaye azikwa

Maelfu ya waombolezaji walifika katika chuo kikuu cha jaramogi Oginga Odinga siku ya jumamosi kwa mazishi ya mwana ya aliyekuwa waziri mkuu nchini Kenya Fidel Castro Odinga.
Maafisa wa usalama walikuwa na wakati mgumu kudhibiti umati wa watu uliohudhuria mazishi hayo kumuaga Mwana huyo wa Raila Odinga.Familia ya marehemu inapanga kupeleka sampuli za mwili wa Fidel mjini Berlin Ujreumani kwa uchunguzi kamili wa kifoi chake.
Fidel alipatikana amefariki katika kitanda chake nyumbani kwake wikendi iliopita.
No comments
Post a Comment