Writen by
sadataley
5:27 PM
-
0
Comments
Jumapili iliyopita ya tarehe 8 mwezi huu wa sita ilikuwa ni jumapili ya
tofauti katika Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (K.K.K.T) Usharika wa
Mwenge jijini Dar es salaam, ambapo Usharika huo ulipata kwa mara ya
kwanza umoja wa wanaume kanisani hapo (wakinababa) ambapo pia walishika
hatamu ya kuongoza ibada.
Yafuatayo ni baadhi ya matukio katika picha jinsi hali ilivyokuwa katika Ibada hiyo iliyoongozwa na Wanaume
SIFA ILICHUKUA NAFASI
 |
| Mwalimu Kahesi akiongoza nyimbo za kuabudu na kusifu |
 |
| Baadhi ya waumini waliohudhuria. |
 |
| Ilikuwa furaha uweponi mwa Bwana |
 |
| Kila mmoja akimtafakari Mungu usharikani hapo. |
KWAYA YA WANAUME
 |
| Ilipendeza sana, sauti zote zilitoka kwao. |
 |
| Kupendeza nayo wee. |
NENO LILICHUKUA NAFASI YAKE
 |
Mchungaji
wa Usharika wa Mwenge mchungaji Kanisa Msangi akiongoza maombi
.Pembeni yake ni mzee Godlisten Lema aliyeongoza Liturjia
|
 |
| Mwinjilisti akihubiri kwenye ibada ya wanaume jumapili. |
 |
| Mzee wa kanisa Godlisten Lema akiongoza Ibada jumapili. |
IGIZO NALO LILIKUWEPO
 |
| Vijana wakiigiza igizo katika ibada hiyo |
UONGOZI
|
|
Viongozi waliochaguliwa kuongoza Umoja wa wanaume wakiwa kwenye picha ya pamoja
Kutoka
Kushoto ni bwana Johanes Makundi,(mweka hazina msaidizi, bwana
Nathaniel Minja (mweka hazina), Mzee Tumaini Kichila mwenyekiti
wa kamati ya maandalizi ya ibada ya wanaume na mwenyekiti wa kamati ya
mahusiano ,bwana Allen Mushi (katibu msaidizi), bwana Denis Ndyetabula
(katibu), bwana Leonard Mushi (makamu mwenyekiti) na bwana Jonas Mbise
(mwenyekiti) wakiwa kwenye picha ya pamoja mara baada ya uchaguzi wa
viongozi hao
|
BAADA YA IBADA
 |
| Baadhi ya wanaume wakiwa kwenye picha ya pamoja mara baada ya ibada.©Tumaini Kichila |
|
|
|
No comments
Post a Comment