Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Saturday, June 21, 2014

Raia wa Costa Rica washerehekea ushindi

mashabiki wa Costa Rika wakisherehekea
Makumi ya maelfu wa raia wa Costa Rica wamesherehekea ushindi wa timu yao ya taifa katika mechi za kombe la dunia zinazoendelea nchini Brazil baada ya kuishinda italy kwa bao moja kwa bila.
Raia hao waliokuwa wakipeperusha bendera walisherehekea ushindi huo ambao umewaweka katika nafasi nzuri ya kuingia katika awamu ya mchujo kwa mara pili
Ushindi huo pia unamaanisha kuwa Uingereza imebanduliwa nje ya mashindano hayo .
Wakati huohuo Ufaransa imepanda hadi katika nafasi ya kwanza ya kundi E baada ya kuicharaza Switzerland kwa mabao matano kwa mawili.
Katika mechi za kundi jengine Ecuador iliishinda Honduras kwa mabao mawili kwa moja katika mechi iliojaa msisimuko mkubwa.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment