Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Sunday, March 30, 2014

Jamaa wa abiria wataka ukweli Malaysia

Jamaa kama 30 wa abiria wa Uchina waliotoweka na ndege ya Malaysia wamesafiri hadi Kualu Lumpur, mji mkuu wa Malaysia, kuwahimiza wakuu wajibu maswali yao.
Jamaa wa abiria wa ndege ya Malaysia iliyopotea
Walitoa bango katika uwanja wa ndege wakisema wanataka ushahidi na ukweli kuhusu nini kimesibu ndege hiyo.
Wanataka wakuu wa Malaysia waombe msamaha kwa kusema kuwa ndege hiyo imepotea katika Bahari Hindi na kwa kuchelewa kutoa habari hizo.
Mwandishi wa BBC amesema kuwa kuwasili kwao kulizua hali ya wasiwasi na familia hizo zilipewa ulinzi mkali na watu wa Malaysia waliojitolea, na hivyo kuwa vigumu kwa waandishi wa habari kuwafikia.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment