Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Wednesday, February 26, 2014

Watu 26 kunyongwa Misri kwa Ugaidi

Kito cha Suez
Kito cha Suez kimeshambuliwa katika miezi ya karibuni
Mahakama moja ya Misri imewahukumia kifo watu 26 kwa makosa ya kuanzisha mtandao wa ugaidi uliopanga mashambulizi dhidi ya meli zilizopitia kwenye kito cha Suez.
26 hao pia walipatikana na makosa ya kuunda mabomu, pamoja na kuchochea ghasia na mashambulizi dhidi ya jeshi na waumini wa Kikristo.
Wote walihukumiwa bila kuwepo mahakamani. Hukumu hiyo sasa inasubiri kuidhinishwa na afisa wajuu wa Kiisilamu. Katika miezi ya karibuni Misri imeshuhudia mashambulio ya kuvizia yanayolaumiwa kutekelezwa na wapiganaji wa Kiisilamu.
Chanzo:bbc swahili
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment