Writen by
sadataley
11:12 PM
-
0
Comments
Taarifa zinaeleza kuwa abiria wanaendelea kuingia katika uwanja huo wa ndege kama kawaida kwa ajili ya safari zao.
Hayo yanakuja wakati huu mataifa yenye nguvu yakionya kuhusu hatua ya kuingilia masuala ya Ukraine ambayo inakabiliwa na hali ya sintofahamu baada ya rais Victor Yanukovich kuondolewa madarakani.
Waziri wa ulinzi wa Marekani Chuck Hagel ametoa angalisho kwa mataifa kutoingilia mipaka ya Ukraine.
Kwa upande wake waziri mkuu wa Uingereza David Cameron amesema kuwa nchi ya Urusi inapaswa itekeleze ahadi yake ya kutoingilia mipaka ya Ukraine.
Hayo yanakuja wakati huu mataifa yenye nguvu yakionya kuhusu hatua ya kuingilia masuala ya Ukraine ambayo inakabiliwa na hali ya sintofahamu baada ya rais Victor Yanukovich kuondolewa madarakani.
Waziri wa ulinzi wa Marekani Chuck Hagel ametoa angalisho kwa mataifa kutoingilia mipaka ya Ukraine.
Kwa upande wake waziri mkuu wa Uingereza David Cameron amesema kuwa nchi ya Urusi inapaswa itekeleze ahadi yake ya kutoingilia mipaka ya Ukraine.
No comments
Post a Comment