Writen by
sadataley
11:45 AM
-
0
Comments
KILICHOTOKEA DUNIANI KATIKA PICHA
![]() |
| Rais Kikwete, Makamu wa Rais Dk Bilal, na Waziri Mkuu Mizengo Pinda wkiwa katika picha ya pamoja na Waziri na manaibu waziri mara baada ya kuapishwa, katika hafla fupi iliyofanyika ikulu tarehe 30 2014, hafla hii inafuatia ile ya awali iliyofanyika tarehe 20 ambapo wateule hawa hawakuwepo. ©Ikulu Blog |
![]() |
| Rais Kikwete, Mamamu wa Rais Dr Bilal, na Waziri Mkuu Mizengo Pinda pamoja na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Sefue wakiwa katika pichaya apmoja na mawaziri na manaibu waziri baada ya kuapishwa kwenye viwanja vya ikulu wiki tarehe 20 Januari. ©Ikulu Blog |
![]() |
| Rais Kikwete akizunguma na Waziri wa Mambo ya Ndani, Mhe. Mathias Chikawe baadaya kuapishwa, akiwa na Inspekta Jenerali wa Polisi, Ernest Mangu pamoja na makamishna na maafisa wengine kutoka mamlaka zilizo chini ya wizara hiyo. ©Ikulu Blog |
Mafuriko Morogoro;
Maelfu ya watu walijikuta katika hali ngumu mara baada ya mafuriko kutokea Morogoro na viunga vyake; Dakawa, Dumila na Kilosa w takriban kaya 3,000 walikosa walibaki bila makazi baada ya maeneo yao kuharibiwa. Rais Kikwete aliagiza tathmini ya maafa ifanyike upya ili kuhakikisha idadi ya walioathirika ili wapate kusaidiwa mapema iwezeanavyo.
Huko Serbia;
Ukraine;
Licha ya Waziri Mkuu wa Ukraine kujiuzulu kufuatia maandamano ambayo yamedumu kwa takriban miezi mitatu sasa, hali ya Ukraine bado si shwari, kutokana na utofauti wa itikadi za kisiasa na mtazamo wa wananchi juu ya kujiunga na Umoja wa Ulaya (EU), jambo ambalo taifa la Urusi lilijitahidi kusaini mikataba kadhaa ya ushirikiano wa kimaendeleo ili Ukraine ijiunge na umoja huo.
Upande wa Ukraine ambao unapakana na Romania, Hungary, Slovakia na Poland, ambazo ni wanachama, huku Belarus na Moldoa zikiwa pia zimepakana ingawa sio nchiwanachama za Umoja wa Ulaya. Wananchi wengi wa upande huu wanazungumza Ki-Ukraine na wanaunga mkono kujiunga EU. Kla wa upande ambao wamepakana na Urusi, huzungumza lugha hiyo, na hawapendelei kujiunga na EU. Kilichofuatia, ni maandamano yasiyo na kikomo, na matukio ya kila aina;



.jpg)



No comments
Post a Comment