Writen by
sadataley
5:20 PM
-
0
Comments
Hii leo Ashton atakutana na rais Viktor Ianoukovitch, na baadaye atakutana tena na viongozi hao wa upinzani katika juhudi za Umoja wa Ulaya juu ya kutafuta suluhu ya mzozo unaolikumba taifa hilo tangu mwezi Novemba mwaka jana.
Serikali ya Ukraine huenda ukaitisha uchaguzi kabla ya wakati, kama inavyo ombwa na upinzani, lakini watatuzi wa mizozo wanaonakuwa mabadiliko ya kikatiba yanaweza kuleta suluhusu ya haraka.
Wakati huo huo makam wa rais wa Marekani Joe Biden amemtaka rais wa Ukraine kuendelea na mazungumzo na wapinzani wake na kufikia suluhusu ya kuunda serikali ya pamoja.
Bunge la taifa nchini Ukraine ambalo linaundwa kwa kiasi kikubwa na watu wa karibu na rais Ianoukovitch halijapiga hatuwa yoyote katika kufanya marekebisho ya katiba kama inavyoombwa na upinzani ili kumaliza mzozo unaoendelea.
ghasia za maandamani zimelikumba taifa hilo la Ukraine kwa kipindi kadhaa ambapo waandamanaji wanitaka serikali ya nchi hiyo kukubaliana na Umoja wa Ulaya juu ya maswala ya kuboresha uchumi wa taifa hilo, huku serikali ikisaini mikataba na Urusi badala ya Umoja wa Ulaya.
Upinzani ulikuwa umeapa kuendelea na maandamano hadi kuungusha utawala wa rais Viktor Ianoukovitch.
Hivi karibuni serikali ya Urusi ilizituhumu nchi za Umoja wa Ulaya kuendelea kuchochea machafuko nchini Ukraine, tuhuma ambazo hata hivyo zilitupiliwa mbali na nchi hizo.
Serikali ya Ukraine huenda ukaitisha uchaguzi kabla ya wakati, kama inavyo ombwa na upinzani, lakini watatuzi wa mizozo wanaonakuwa mabadiliko ya kikatiba yanaweza kuleta suluhusu ya haraka.
Wakati huo huo makam wa rais wa Marekani Joe Biden amemtaka rais wa Ukraine kuendelea na mazungumzo na wapinzani wake na kufikia suluhusu ya kuunda serikali ya pamoja.
Bunge la taifa nchini Ukraine ambalo linaundwa kwa kiasi kikubwa na watu wa karibu na rais Ianoukovitch halijapiga hatuwa yoyote katika kufanya marekebisho ya katiba kama inavyoombwa na upinzani ili kumaliza mzozo unaoendelea.
ghasia za maandamani zimelikumba taifa hilo la Ukraine kwa kipindi kadhaa ambapo waandamanaji wanitaka serikali ya nchi hiyo kukubaliana na Umoja wa Ulaya juu ya maswala ya kuboresha uchumi wa taifa hilo, huku serikali ikisaini mikataba na Urusi badala ya Umoja wa Ulaya.
Upinzani ulikuwa umeapa kuendelea na maandamano hadi kuungusha utawala wa rais Viktor Ianoukovitch.
Hivi karibuni serikali ya Urusi ilizituhumu nchi za Umoja wa Ulaya kuendelea kuchochea machafuko nchini Ukraine, tuhuma ambazo hata hivyo zilitupiliwa mbali na nchi hizo.
No comments
Post a Comment