Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Sunday, January 5, 2014

RATIBA YA PILI YA MAZISHI YA ALIYEKUWA WAZIRI WA FEDHA HII HAPA




                                Dr  Wiliam Mgimwa  enzi  za uhai  wake 



Ratiba ya Mazishi ya aliyekuwa Waziri wa Fedha na Mbunge wa Jimbo la Kalenga, Marehemu Dkt. William A. Mgimwa
Siku & Tarehe
Muda
Tukio
Mhusika








Jumamosi
4 Januari, 2014
 7:30
Mwili kuwasili JNIA


7:30 – 7:40
Kuutambua mwili na kukamilisha taratibu za uhamiaji

Bwana Bunare wa HAZINA na Mwanafamilia
7:30 -  7:40
Kumpokea mjane kutoka kwenye ndege kwenda VIP
Kaimu Waziri wa Fedha; Mwenyekiti wa Kamati; Mhe. Sophia Simba; Katibu Mkuu NJE; Balozi wa Tanzania Afrika ya Kusini; Monica Mwamunyange; Wanafamilia watatu

7:40 – 8:00
Mwili kubebwa na kuwekwa kwenye gari

Waombolezaji
8:00 – 8:30
Msafara kuelekea nyumbani

Kamati
8:30 – 10:00
Ibada ya Misa Takatifu nyumbani

Padre
10:00 – 10:30
Mwili kupelekwa Hospitali ya Lugalo

Kamati na Familia

10:30 – 12:00
Viongozi wa Kitaifa kutoa pole kwa familia
Mhe. Janeth Mbene na Kamati











Jumapili
5 Januari, 2014






2:00 – 4:00
Kifungua kinywa nyumbani kwa marehemu
Kamati

4:30
Waombolezaji kuwasili Viwanja vya karimjee
Kamati na Wanafamilia

5:00
Mwili kuwasili viwanja vya Karimjee
Kamati

5:45
Mhe. Makamu wa Rais kuwasili Karimjee
Kamati

6:00
Mhe. Rais kuwasili Karimjee
Kamati

6:00 – 6:20
Ibada fupi
Padre

6:20 – 6:25
Wasifu wa marehemu
Katibu Mkuu – HAZINA

6:25 – 6:30
Salamu za rambi rambi
Waziri wa Fedha wa Uganda kwa niaba ya Mawaziri wa Fedha Afrika Mashariki
6:30 – 6:35
Salamu za rambi rambi
Mwakilishi wa Washirika wa Maendeleo (DPs)
6:35 – 6:40
Salamu za rambi rambi
Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni kwa niaba ya Vyama vya Upinzani
6:40 – 6:45
Salamu za rambi rambi
Kiongozi wa CCM Bungeni

6:45 – 6:55
Salamu za Bunge
Spika wa Bunge

6:55 – 7:00
Salamu za rambi rambi
Waziri wa Fedha, Zanzibar

7:00 – 7:05
Salamu za rambi rambi

Kaimu Waziri wa Fedha SMT
7:05 – 7:10
Shukrani
Mwakilishi wa Familia

7:10 – 7:15
Hitimisho
Mwenyekiti wa Kamati

7:15 – 8:00
Kutoa Heshima za mwisho
Kamati

8:00 – 8:40
Kuelekea Uwanja wa Ndege
Wanaosafiri
10.00-11.00
Mwili kuwasili uwanja wa ndege wa Nduli Iringa na kuelekea katika Ukumbi wa Siasa ni Kilimo kwa heshima za Mwisho
Mkuu wa Mkoa na Kamati
11.00
Mwili kuelekea Kijijini Magunga
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment