Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Tuesday, January 7, 2014

Opra Winfrey apata haki kuonyesha filamu ya Mandela

Los Angeles, Marekani. Mwanamama mwenye ushawishi Duniani Opra Winfrey, kupitia Kituo chake cha runinga cha ‘OWN’, amepata haki ya kuonyesha filamu ya marehemu Mandela iitwayo ‘Long Walk to Freedom’.
Filamu hiyo imeshapata umaarufu mkubwa na kutajwa kuwania tuzo kadhaa. Itakuwa inaeleza maisha halisi ya mwanamapinduzi huyo.
Kwa mujibu wa waandaaji wa filamu hiyo, itachukua miaka mitatu kabla ya kuanza kuonyeshwa kwenye runinga na itakapoanza kituo cha kwanza kuionyesha kitakuwa ni ‘OWN’ ambacho kimenunua haki hizo kutoka kwenye Kampuni ya ‘The Weinstein’.
Miongoni mwa watu waliowahi kumfanyia mahojiano yaliyojaa kila aina ya ushujaa, vilio hayati Nelson Mandela ni mtangazaji Opra ambaye alihudhuria mazishi ya mwanamapinduzi huyo jasiri Kijijini cha Qunu, alikozaliwa Mandela.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment