Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Friday, January 31, 2014

Jambazi sugu asakwa Tanzania

Ramani ya TZ
Polisi Nchini Tanzania wanamsaka mtu mmoja mwenye silaha, ambaye amewauwa watu wanane kwa kuwapiga risasi na kuwajeruhi wengine watatu.
Kisa hicho cha mauaji kilifanyika Jumamosi usiku katika eneo la Mara kaskazini.
Walioshuhudia wanasema kuwa jamaa huyo alikuwa akitaka kupewa pesa na simu za mkononi toka kwa waathiriwa.
Kikosi maalum kinachojumuisha maafisa wa polisi wapatao 160 kimekabidhiwa majukumu ya kumsaka jambazi huyo kwa nia ya kumtia mbaroni.
Mwanahabari wa BBC Nchini Tanzania anasema kuwa sio kawaida kwa watu wa Mara wanaopakana na Ziwa Victoria kubeba bunduki katika harakati za kulinda mifugo wao.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment