Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Monday, December 30, 2013

Radi yauwa wanane Malawi

Watu wanane wamekufa nchini Malawi wakati radi ilipopiga kanisa katika mji mkuu, Lilongwe.
Soko mjini Lilongwe, Malawi
Walioshuhudia wanasema kulitokea mtafaruku katika kanisa la Sabato baada ya jengo la kanisa kupigwa na radi Jumamosi jioni.
Wakuu wa afya wanasema mtoto mmoja ni kati ya watu waliokufa.
Wameeleza kuwa watu 40 wengine wanatibiwa katika hospitali kuu.
Vyombo vya habari vya Malawi vinaripoti kuwa radi iliuwa watu watatu wengine katika matukio mbali-mbali tangu majira ya mvua kuanza mwezi uliopita.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment