Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Wednesday, December 18, 2013

Polisi wafukuzwa kwa rushwa Uturuki

Polisi waandamizi watano nchini Uturuki wamefukuzwa kazi kutokana na tuhuma za kujihusisha na vitendo vya rushwa.Hatua hii ya kufukuzwa kwa polisi hao ni matokeo ya kushikiliwa kwa watu Zaidi ya 20 kwaajili ya uchunguzi Zaidi kutokana na kutuhumiwa kuhusika na rushwa
Recep Tayyip Erdogan Waziri mkuu wa Uturuki
Walioshikiliwa kwa tuhuma hizo ni pamoja na watoto wa mawaziri wa serikali,maafisa wa serikali na wafanyabiashara wanaodaiwa kuwa karibu na waziri mkuu wa nchi hiyo Recep Tayyip Erdogan.
Taarifa toka nchini humo zinaarifu kuwa kuna dalili za mgawanyiko mkubwa ndani ya serikali hiyo chini ya chama tawala cha AK kati ya Waziri mkuu Erdogan na makundi ya kiislam yanayoongozwa na Fethullah Gulen.
Polisi hao waliofukuzwa baadhi yao wanadaiwa kuhusika katika kashfa hiyo
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment