Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Sunday, November 24, 2013

Hatimaye Wanadiplomasia waafikiana kuhusu mpango wa nyukli wa Iran kupitia majadiliano ya Geneva nchini Uswisi

Hatimaye Iran na mataifa sita yenye nguvu duniani wamefikia makubaliano kuhusu mpango wa nyuklia wa Tehran, Kiongozi Mkuu wa mjadala huo Bi, Catherine Ashton amethibitisha hilo baada ya takribani siku tano za majadiliano makali ya mjini Geneva nchini Uswisi. Mataifa yenye nguvu duniani ambayo ni Uingereza, Marekani, Urusi, China, Ufaransa na Ujerumani wamekuwa na madai ya kutaka Tehran isitishe urutubishaji wa uranium ili iondolewe vikwazo inavyokabiliwa navyo.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment