Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Saturday, October 5, 2013

Mkutano kujadili maafa ya Lampedusa

Ufaransa imeitisha mkutano wa haraka wa nchi za Umoja wa Ulaya baada ya mashua kuzama nje ya Utaliana ambapo inafikiriwa wakimbizi zaidi ya 300 kutoka Afrika wamekufa .
Mkimbizi akinusuriwa nje ya Lampedusa
Waziri Mkuu wa Ufaransa, Jean-Marc Ayrault, alisema huruma haitoshi - wanasiasa wa Ulaya lazima watafute suluhu inayofaa.
Huku nyuma meya wa Rome, Ignazio Marino, amejitolea kuwaweka mjini humo manusura 150 wa maafa hayo.
Miili zaidi ya 100 imeopolewa kutoka baharini lakini mawimbi yanazuwia msako wa abiria wengine 200 ambao wametoweka.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment