Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Tuesday, October 1, 2013

DK Shein akutana na Mabalozi wa Uholanzi na China


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Balozi wa Uholanzi Nchini Tanzania Jaap Frederiks,alipofika jana Ikulu Mjini Zanzibar kwa madhumuni ya kusalimiana na Rais 


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Balozi wa Uholanzi Nchini Tanzania Jaap Frederiks, alipofika jana Ikulu Mjini Zanzibar 


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akiagana na Balozi wa Uholanzi Nchini Tanzania Jaap Frederiks,baada ya mazungumzo yao,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar jana 


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Balozi Mdogo wa China Nchini Tanzania ,anayefanyia kazi zake Zanzibar Xie Yunliang,alipofika jana Ikulu Mjini Zanzibar jana 


Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akizungumza na Balozi Mdogo wa China Nchini Tanzania,anayefanyia kazi Zanzibar Xie Yunliang, alipofika jana Ikulu Mjini Zanzibar jana. [Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment