Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Friday, September 20, 2013

Wapinzani wataka watanzania kujadili sheria ya mabadiliko ya katiba

Bunge la Tanzania
Viongozi wa vyama vya upinzani nchini Tanzania  wamesisitiza madai yao ya kutaka kurejeshwa bungeni muswada wa sheria ya  mabadiliko ya katiba ili kuendelea na mchakato wa upatikanaji wa katiba mpya yenye ridhaa ya watanzania wote.

Wakizungumza katika mahojiano maalum na sauti ya Amerika-VOA  viongozi hao Freeman Mbowe wa CHADEMA, James Mbatia wa NCCR MAGEUZI na Profesa Ibrahim  Lipumba wa CUF wamesema kilichofanyika bungeni kwa wabunge wa Chama cha Mapinduzi-CCM kupitisha muswada huo wa sheria ya mabadiliko ya katiba kibabe kutaliweka taifa  katika wakati mgumu kupata katiba bora yenye maslahi kwa watanzania wote.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment