Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Saturday, September 7, 2013

"UDHAIFU WA IMANI KATIKA MAISHA UMEWEZA KUSABABISHA MIGOGORO KATIKA NDOA" ASEMA ASKOFU WA ALGENTINA

Hayo yamesemwa na Askofu Andres Stanovnik huko Algentina akiwaasa watu kuwa wanatakiwa kuishi maisha yenye uaminifu ili kujenga mahusiano mazuri na ya kudumu na si maisha yasio na uaminifu katika ndoa baina ya wanandoa wawili.

Tunatakiwa kutazama kwa undani zaidi dalili za migogoro katika ndoa na pia katika familia zetu ili kuwezakujua ni mbinu gani ambazo zitaweza kutumika na kutokomeza kabisa hali ya kuwa na migogoro ya ndoa na familia katika maisha yetu.

Imetafsiliwa na Happy Adam

« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment