Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Wednesday, September 18, 2013

Msukosuko wa kifedha ulileta maafa

Watafiti wamesema kuwa msukosuko wa kifedha ulioshuhudiwa duniani mwaka 2008 ulisababisha kuongezeka kwa visa vya watu kujitoa uhai duniani,hususan wanaume.
Nchi nyingi za Ulaya ndizo zilikumbwa na msukosuko mkubwa wa fedha
Kwenye utafiti huo ambao matokeo yake yalichapishwa katika jarida la afya la Uingereza,watafiti kutoka Uingereza na Hong Kong walisema kuwa takriban wanaume elfu tano zaidi walijitoa uhai mwaka wa 2009 kuliko idadi ya kawaida.
Waliongezea kuwa vijana wa Ulaya na wanaume wenye umri wa makamu wa Marekani walikumbwa na uhaba mkubwa wa ajira wakati huo.
Hata hivyo watafiti hao wameonya kuwa athari za msukosuko huo wa kifedha kwa maisha ya watu yalikuwa mabaya sana hasa kwa sababu watu wengi sana walijaribu kujitoa uhai.
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment