Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Thursday, September 19, 2013

KKKT DAYOSISI YA IRINGA KUWA MWENYEJI WA UIMBAJI WA DAYOSISI ZA UKANDA WA KUSINI AMBAO UTAFANYIKA TAREHE 29.09.2013 KATIKA USHARIKA WA MKWAWA

Aliyesimama ni Msaidizi wa Askofu wa Dayosisi ya Iringa Mchungaji Blastone Gavile akiwakaribisha wajumbe katika kikao cha tathmini ya maandalizi ya Uimbaji wa Ukanda


 
Mchungaji Donald Kiwanga  akiwakaribisha wajumbe katika Jimbo lake ili kushiriki  kikao cha                                       tathmini ya maandalizi ya Uimbaji wa Ukanda
 Mchungaji Mangulisa Mchungaji Mwenyeji wa Usharika wa Mlandege akitoa maelezo ya namna Kwaya ya Dayosisi inavyojiandaa kwa ajili  ya Uimbaji wa Ukanda

               NA SASA NI KATIKA KUANGALIA MAZOEZI YA KWAYA YA DAYOSISI

Hapa Mkuu wa Jimbo akiitambulisha kwaya kwa Wachungaji na Wajumbe walitembelea mazoezi ya Kwaya ya Dayosisi
              Baadhi ya waimbaji wa Kwaya ya Dayosisi


       Na sasa ni wakati wa kutoa maoni baada ya kusikiliza nyimbo za kwaya ya Dayosisi




  Mwenyekiti wa Idara ya Muziki ya Dayosisi Mzee Francis  W. Mwakatundu akiwashukuru waimbaji mara baada ya kupokea maoni toka kwa wajumbe wa tathimini

      Baadhi ya washiriki wakiimba wimbo wa pamoja ili kufunga
       Pichani baadhi ya waimbaji wa kwaya ya Dayosisi

« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment