Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Saturday, August 17, 2013

MAKAPERA WAPO RADIO WAZIDI KUACHWA SOLEMBA

Hatimaye Mmasai wa WAPO Radio FM Stelius Sane ametangaza nia ya kuachana na ukapera baada ya kumvalisha pete ya uchumba binti anayetarajia kuwa mkewe mapema mwezi November mwaka huu jijini Dar es salaam katika ibada iliyofanyika katika kanisa la Tanzania Assemblies of God (TAG) Mabibo Sahara inayoongozwa na Askofu Geofrey Massawe.

Kutangaza nia kwa Stelius ambaye ni mtangazaji wa radio hiyo hususani kipindi cha Ipo njia cha usiku kumewaacha midomo wazi makapera wengine waliojazana ndani ya kituo hicho wakiongozwa na Silas Mbise, Anthony Joseph, Elie John na wengineo wakishindwa kuamini namna kijana mwenzao alivyowazidi kete mwe!






Habari na Gospel Kitaa
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment