Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Tuesday, July 30, 2013

WAZIRI MKUU WA THAILAND YINGLUCK SHINAWATRA AWASILI NCHINI TANZANIA KWA ZIARA YA SIKU TATU.


Raisi wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania Jakaya Kikwete akimpokea Waziri Mkuu wa Thailand bi Yingluck Shinawatra katika uwanja wa ndege wa Julius Nyerere leo hii.



                  Mh.  Rais  Jakaya Kikwete akimkaribisha Waziri  Mkuu huyo wa Thailand.


Waziri  Mkuu wa Thailand akisalimiana na viongozi wa hapa nchini Tanzania.


hapo ni Waziri  Mkuu wa Thailand bi.Yingluck Shinawatra akikagua gwaride mara tu baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Mwl.Julius Nyerere.


Waziri  Mkuu Yingluck Shiwawatra na mwenyeji wake Mh.Jakaya Kikwete wakikagua ngoma za asili baada ya waziri huyo kuwasili nchini.


Waziri  Mkuu Yingluck Shinawatra akisalimiana na baadhi ya raia wa Thailand waishio nchini Tanzania.


Raisi Jakaya Kikwete alipowasili katika Ikulu jijini Dar es Salaam na Waziri Mkuu Bi.Yingluck Shinawatra


Rais Jakaya Kikwete akifanya mazungumzo na Waziri  Mkuu  Bi.Yingluck Shinawatra jijini daresalaam leo.

Imewekwa na Happy Adam

« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment