Writen by
sadataley
10:33 PM
-
0
Comments
Raisi wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania Jakaya Kikwete akimpokea Waziri Mkuu wa Thailand bi Yingluck Shinawatra katika uwanja wa ndege wa Julius Nyerere leo hii.
Mh. Rais Jakaya Kikwete akimkaribisha Waziri Mkuu huyo wa Thailand.
Waziri Mkuu wa Thailand akisalimiana na viongozi wa hapa nchini Tanzania.
hapo ni Waziri Mkuu wa Thailand bi.Yingluck Shinawatra akikagua gwaride mara tu baada ya kuwasili katika uwanja wa ndege wa Mwl.Julius Nyerere.
Waziri Mkuu Yingluck Shiwawatra na mwenyeji wake Mh.Jakaya Kikwete wakikagua ngoma za asili baada ya waziri huyo kuwasili nchini.
Waziri Mkuu Yingluck Shinawatra akisalimiana na baadhi ya raia wa Thailand waishio nchini Tanzania.
Raisi Jakaya Kikwete alipowasili katika Ikulu jijini Dar es Salaam na Waziri Mkuu Bi.Yingluck Shinawatra
Rais Jakaya Kikwete akifanya mazungumzo na Waziri Mkuu Bi.Yingluck Shinawatra jijini daresalaam leo.
Imewekwa na Happy Adam
No comments
Post a Comment