Latest News

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)

UNIVERSITY OF IRINGA (Formerly Tumaini University-Iringa)
CALL FOR MARCH INTAKE APPLICATION 2017/18
NOW OPEN!
DEADLINE 30/03/2018
CALL 0743 802 615, 0677 048 677Read More

menu

Saturday, July 27, 2013

Wahitimu vyuo vikuu kukopeshwa miradi

WASOMI watakaohitimu vyuo vya elimu ya juu nchini kuanzia mwaka huu watakopeshwa mabilioni ya fedha ili waanzishe miradi itakayowawezesha kujiajiri. Hatua hiyo ni matokeo ya Programu ya Wizara ya Kazi na Ajira inayolenga kukuza ajira kwa vijana wahitimu wa vyuo hivyo, kwa kushirikiana na vya elimu ya juu, taasisi za fedha na wabia wa maendeleo.
Kwa habari zaidi ingia www.habarileo.co.tz/index.php/habari-za-kitaifa/14588-wahitimu-vyuo-vikuu-kukopeshwa-miradi
« PREV
NEXT »

No comments

Post a Comment